Tunachokisimamia
Dhima yetu ni kuleta mabadiliko yatakayoiendeleza Tanzania kwa kutengeneza maisha ya furaha na heshima kwa Watanzania wote. Mabadiliko haya yatafanikishwa kwa kuwa na:
- Uchumi unaokuwa na jumuishi ambao unatengeneza ajira.
- Huduma bora za kijamii na zinazopatikana kwa watu wote.
- Polisi yenye kuwalinda na kuwatumikia watu yenye kujali taaluma na ukweli.
- Muungano wa watu (siyo wa Serikali), ambao ni wa haki na uliojengeka katika misingi ya kuheshimu haki za binadamu.
Reactions
Sign in with
Facebook Twitter