Aug 05
10:00 AM
Diamond Jubilee Hall
Dar es Salaam, Dar es Salam
Tanzania, United Republic of

Mkutano wa Kitaifa 2020

Mnamo 5/8/2020, wajumbe wa ACT Wazalendo watakutana kumteua wagombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.

Ilani za chama kwa ajili ya uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar zitawasilishwa kwa wajumbe.

 

Ingia!

Ukurusa huu unatumia kuki. Kusoma zaidi, angalia Vigezo na Masharti yetuOK