Taarifa

Hotuba ya Ndg. Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT...

Ndugu Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar;

Ndugu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Ndugu Viongozi wa Serikali na Vyama vya...

MAALIM SEIF, A MAN OF HIS WORDS Zitto Kabwe, Party...

I am not often at loss for words. But today I am finding it very difficult to put words together to describe Maalim Seif Sharif Hamad, the First Vice President...

Taarifa ya Msiba wa Mwenyekiti wa Taifa ACT Wazalendo Maalim...

Leo mnamo saa 6:13 mchana, nimejulishwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwamba Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar amefariki dunia. Taarifa rasmi ya...

JESHI LA POLISI LIMUACHIE ASKOFU EMMAUS BANDEKILE MWAMAKULA, LIACHE KUJITUMIKISHA...

 

TAREHE 16/2/2021

JANA Tarehe 15/2/2021 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam lilitoa taarifa ya kumkamata Askofu mwamakula kwa madai ya tuhuma ya kosa la kuhamasisha...

SALAAM ZA MWENYEKITI WA KITUO CHA DEMOKRASIA (TCD) NDG. ZITTO...

Mara baada ya Mfumo wa Vyama vingi kuanzishwa hapa Tanzania kulikuwa na juhudi kubwa za Mashirika ya Kimataifa kuimarisha Vyama vya Siasa ili kujenga Mfumo Madhubuti wa Demokrasia ya Vyama...

Siku 100 za Kuwaweka Wazanzibari pamoja:

Na: Zitto Kabwe, 

Kongozi wa Chama cha ACT Wazalendo.

Tarehe 7 Disemba 2020 Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi alimwapisha Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo...

A CALL FOR 'UAMSHO' RELEASE

THE CITIZENS NEWS PAPER


Dodoma. Chonga lawmaker Salum Mohamed Shafi (ACT-Wazalendo) yesterday pleaded with President John Magufuli to pardon Islamic revival clerics who have been detained for eight years.

The...

TAARIFA KWA UMMA Maalim Seif Apumzishwa Baada ya Kupata Maambukizi...

Chama cha ACT Wazalendo kinawajuilisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania, kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe, Bi Awena, pamoja na Wasaidizi wake kadhaa...

THE 2021 GENERAL ELECTION IN UGANDA WAS ANOTHER JOKE TO...

 

Statement by ACT Wazalendo's Foreign Affairs Department, on Uganda 2021 General Election:

On January 13, 2021 we released a statement concerning the alarming situation regarding the general elections in...

UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2021 UGANDA, NI UTANI MWINGINE KWA...

 

Taarifa ya ACT Wazalendo, Idara ya Mambo ya Nje juu ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2021 nchini Uganda:

Januari 13, 2021 tulitoa taarifa kuhusiana na hali tete iliyougubika uchaguzi...

Ukurusa huu unatumia kuki. Kusoma zaidi, angalia Vigezo na Masharti yetuOK