Taarifa

Rais Magufuli, UMETUFUNZA. Zitto Kabwe

Kwa Heri John Magufuli, Buriani Tingatinga

Zitto Kabwe
26 Machi, 2021.

Imenichukua karibu wiki nzima kuandika, japo kidogo, kukuaga Rais Magufuli. Unajua kwanini ninapata ugumu kuandika japo napenda sana kuandika tanzia...

HONGERA MAMA SAMIA, LIUNGANISHE TAIFA-Dorothy Semu.

Taarifa ya Kaimu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Juu ya Kuapiswa kwa Mama Samia Suluhu Hassan Kushika Madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chama cha ACT Wazalendo...

ACT WAZALENDO CONDOLENCES ON DEATH OF MAGUFULI

Fellow Tanzanians,

It is with deep emotion to learn of the death of President John Pombe Magufuli that was officially announced today 17th March 2021.

This is an unprecedented moment...

President Magufuli’s mysterious absence raises concerns about who is governing...

PRESS RELEASE

Dar es Salaam, March 16, 2021:

ACT- Wazalendo calls upon the Government of the United Republic of Tanzania to fully explain the mystery surrounding the absence of President...

Zitto: Nani Anaongoza Nchi Yetu?


1. Utangulizi

Ndugu Wananchi

Katika siku za hivi karibuni suala la afya ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli limekuwa katika mijadala katika vyombo...

Ado: Kiongozi wa umma ni mali ya umma.

Msimamo wetu juu ya afya ya viongozi wa umma upo dhahiri kwa kauli na vitendo. Ndio maana Mwenyekiti wetu alipougua, Chama na yeye mwenyewe binafsi tuliweka bayana kwa umma. Kiongozi...

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula, Amtembelea Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Leo tarehe 06 Machi 2021, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amekutana na kufanya mazungumzo na Baba Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula, ambaye ni Mkuu wa Kanisa...

TUMESHAMPENDEKEZA MRITHI WA MAALIM -Zitto

(Sehemu ya Hotuba ya Kiongozi wa Chama Ndugu cha ACT Wazalendo Ndg. Zitto Kabwe kwenye Khitma ya Kumuombea Maalim Seif Iliyofanyika Dar es salaam).

"Tayari tumeshapendekeza jina kwa Rais wa...

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KAIMU MWENYEKITI TAIFA WA ACT WAZALENDO...

Kufuatia kifo cha Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Ndugu Maalim Seif Sharif Hamad kilichotokea tarehe 17 Februari 2021, Ndugu Dorothy Semu ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti Bara...

MAELEKEZO YA OFISI YA KATIBU MKUU KUHUSU JANGA LA VIRUSI...

Ndugu Viongozi na Wanachama wa ACT Wazalendo, awali ya yote napenda kuwapa pole nyingi kwa msiba mzito uliotukuta kufuatia kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na...

Ukurusa huu unatumia kuki. Kusoma zaidi, angalia Vigezo na Masharti yetuOK